Monday, January 18, 2021
Usifanye kosa hili kwenye mapenzi, utajuta daima. Utageuka kuwa chizi uropoke peke yako barabarani
Najaribu tu kuukumbusha ubongo wako kidogo, jambo dogo ila ndio source ya mambo yote mabaya katika ndoa au mapenzi.
Usiwe na mahusiano ya kimapenzi na mtu unayempenda wewe huku hujajihakikishia kuwa anakupenda pia au la.
Kuwa katika mapenzi na mwanamke au mwanaume anayekupenda na si unayempenda. Ikitokea na wewe umempenda pia itakuwa vizuri zaidi.
Usiuruhusu moyo ukutawale kwenye mapenzi, moyo utakupeleka direct kwa mtu unayempenda bila kujali anakupenda au la na mwisho wa siku utajikuta umeumia.
Kuna nyuzi nyingi za vijana kufanyiwa upumbavu na wapenzi wao humu ndani. Hii inatupa picha kuwa wamependa na hawajapendwa.
Upendo ndio utamfanya mwenzako akuonee huruma na si kukufanya ATM machine kila siku.
Upendo ndio utaleta msamaha toka kwa mwenzi wako pale utakapomkosea.
Upendo ndio utamfanya mwenzako asikucheat hovyohovyo.
Upendo ndio utamfanya mwenzako akusikilize mnapopanga mipango yenu ya kiuchumi.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
