Tuesday, January 12, 2021

Tume ya mawasiliano Uganda yafunga mitandao yote ya kijamii



Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC) Jumanne iliagiza makampuni yanayotoa huduma ya internet kufunga mitandao ya kijamii na app zote za mawasiliano siku mbili tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika nchini humo.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...