Tuesday, January 12, 2021

Tanzia : BILLIE EDMOTT AFARIKI DUNIA


Billie Edmott enzi za uhai wake.

Afisa Misitu na Utunzaji Mazingira Mwandamizi mkoa wa Shinyanga, Billie Edmott amefariki dunia.

Kwa Mujibu wa taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Lubaga Farm kata ya Lubaga Manispaa ya Shinyanga Joachim Jeremia amesema Billie Edmott amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake leo Jumanne Januari 12, 2021 mchana.

 Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amethibitisha taarifa kuhusu kifo cha Billie Edmott.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...