Klabu za ligi ya Premia zimesema kuwa zitaendelea na ligi hiyo ili kukamilisha mechi 92 zilizosalia msimu huu , lakini hazikusema tarehe rasmi ya kurudi uwanjani katika mkutano siku ya Ijumaa.
Klabu hizo zilitarajiwa kujadiliana kuhusu kurudi uwanjani ifikiapo tarehe 30 mwezi Juni lakini badala yake zikazungumzia kuhusu uwezekano wa kuahirisha mechi hizo.
Ligi hiyo imesema kwamba iko tayari kukamilisha mechi zilizosalia lakini kwa sasa tarehe zote hazijathibitishwa.
Ligi hiyo iliahirishwa tangu Machi 13 kutokana na mlipuko wa virusi hivyo.
Inaeleweka kwamba baadhi ya klabu zilitarajiwa kuzungumzia kuhusu tarehe ya Juni 30 siku ya Ijumaa lakini ikaamuliwa kwamba huu sio wakati wa kufanya hivyo.
''Pamoja na biashara nyengine na viwanda , ligi ya Premia na klabu zetu tunapanga mipango migumu inayoweza kutokea'', ilisema ligi hiyo.
Mkutano wa leo wa wanahisa ulitoa fursa kuzungumzia njia nyingine za kuahirisha mechi hizo, linasalia lengo letu kukamilisha msimu wa 2019-2020, lakini kufikia sasa tarehe zote hazijaamuliwa huku janga la corona likiendelea kuathiri.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
