Klabu ya Tottenham Hotspurs' tayari imeufungua uwanja wake mpya ambao ulianza kujengwa mwaka 2016 ukiwa na uwezo wa kuingiza watu elfu 62062, Ukiwa ni uwanja wa pili katika jiji la London kuingiza watu wengi baada ya Wembley kuingiza watu elfu 90000. Uwanja wa Tottenham una urefu wa mita 105 na upana wa mita 68 sawa na yad (114.8 kwa 74.4).
Uwanja huu ukiwa umegharimu $ bilion 1.3 wakiupa jina la TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM ambalo ni jina la muda kwani wanatarajia kulibadili jina hili Ingawa mashabiki wa timu hiyo wanapendekeza Uitwe "NEW WHITE HART LANE STADIUM"
Tottenham Hotspur ilijipatia rekodi iliovunja rekodi ya dunia ya £113m baada ya kodi msimu uliopita. Fedha hizo zimeshinda faida ya £106m ilizopata Liverpool mapema mwaka huu.
Matokeo ya kila mwaka ya kifedha ya msimu 2017-18 yanaonyesha kwamba mapato ya Spurs yalipanda kutoka £310m hadi £380m kutokana na mauzo ya wachezaji, mashabiki wengi waliojitokeza katika uwanja wa Wembley na kufuzu katika awamu ya muondoano ya kombe la vilabu bingwa Ulaya.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
