Mshtakiwa namba moja wa mauaji ya rapper Nipsey Hussle yaliotokea March 31,2019 Mjini Los Angeles nje ya duka lake la 'The Marathon Clothing', Eric Holder'29 alipandishwa kortini siku ya jana April 4,2019 kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayomkabili.
Inaelezwa kuwa kesi ya Eric Holder inasimamiwa na mwendesha mashtaka maarufu nchini Marekani Christopher Darden, ambaye alijipatia umaarufu mkubwa miaka ya 90 baada ya kufanikiwa kuimaliza kesi kubwa ya mauaji iliyokuwa ikimkabili Mtangazaji Orenthal James Simpson.
Wakili huyo aliiambia mahakama kuwa mshtakiwa huyo Eric Holder hana hatia na ametoa malalamiko kuhusu vyombo vya habari kuruhusiwa kuingia mahakamani wakati wa kesi hiyo ikiendelea.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
