Wednesday, April 3, 2019
Kenyans Artists Left with Questions After Learning Mbosso Bought First House Just a Year After Joining Diamond’s Wasafi Records
From Kenya/Ghafla
Kenyans artists left with questions after learning Mbosso bought first house just a year after joining Diamond's Wasafi records
Diamond Platnumz newest signee, Mboss, recently took to social media to reveal his new house.
The singer, who has been in Wasafi Records for just an year, posted photos on social media of his massive bungalow, thanking God for the blessings.
In the long post, the singer thanked God for his rewarding his hard work since in the past year since he joined Diamond Platnuzm.
"Mwenyezi Mungu ni Mkubwa sana na anasiri kubwa sana katika kila ya mja wake (..Asante Mola wangu..)…, huenda hiki kikawa kidogo sana kwa wengine ila kwangu Mimi nikikubwa sana , tena sana kwa sababu sikuwa na uwezo nacho awali, ila tu Mapenzi yenu na Sapot yenu kwangu mmenifanya leo hii na Mimi niwe na kwangu .., "Eti Mbosso na Mimi leo nina kwangu 😭.."
"Acha niseme asanteni sana kwa upendo wenu, asanteni kwa Kuokoa kipaji changu na kuamua kunisapot tangu siku ya kwanza hadi kufiki leo hii .." Hiki ni kidogo mulichoweza kunifanya nimiliki leo hii kijana wenu.. "Mungu awabariki sana na awafungulie milango yenu ya rizki kwa upana zaidi " ili mupate nguvu ya kuendelea kunisapot Kijana wenu " inshaalla"🙏" he said in the post.
Why?
Mbosso started off a singer with popular Tanzanian boy band Yamamoto singers. His new move leaves Kenyan artists trying to analyse where they might be going all wrong since they also hustle just as hard but haven't been able to pull such moves.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...

