Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema Uturuki itafanya kazi kwa kushirikiana na Italia katika kufanikisha upatikanaji wa amani na mchakato wa kisiasa ambao utatatoa matokeo nchini Libya.
Waziri huyo pia aliongeza kusema washirika wa Umoja wa Kujihami wa NATO watashiriki pia katika jitihada hizo. Uturuki inauunga mkono serikali inayotambulika kimataifa ya mjini Tripoli.
Kwa jitihada za serikali ya Uturuki serikali hiyo ilifanikiwa kuyarudisha nyuma mashambulizi ya miezi 14 yakilenga mji wa Tripoli ya mbambe wa kivita Khalifa Haftar, ambayo yanaungwa mkono na Urusi, Jumuiya ya Falme za Kiarabu na Misri.
Akizungumza na waandishi wa habari, sambamba na mgeni wake waziri wa mambo ya nje wa Italia, Cavusoglu amesema mataifa hayo mawili pia yatashughulikia mahitaji ya nishati kama umeme nchini Libya.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...