Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema Uturuki itafanya kazi kwa kushirikiana na Italia katika kufanikisha upatikanaji wa amani na mchakato wa kisiasa ambao utatatoa matokeo nchini Libya.
Waziri huyo pia aliongeza kusema washirika wa Umoja wa Kujihami wa NATO watashiriki pia katika jitihada hizo. Uturuki inauunga mkono serikali inayotambulika kimataifa ya mjini Tripoli.
Kwa jitihada za serikali ya Uturuki serikali hiyo ilifanikiwa kuyarudisha nyuma mashambulizi ya miezi 14 yakilenga mji wa Tripoli ya mbambe wa kivita Khalifa Haftar, ambayo yanaungwa mkono na Urusi, Jumuiya ya Falme za Kiarabu na Misri.
Akizungumza na waandishi wa habari, sambamba na mgeni wake waziri wa mambo ya nje wa Italia, Cavusoglu amesema mataifa hayo mawili pia yatashughulikia mahitaji ya nishati kama umeme nchini Libya.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
