Mbunge wa jimbo la Singida kaskazi Mh Eng Justin Joseph Monko amekabidhi vifaa vyenye thamani ya sh milioni 14 kwa Kata za Ilongero, Merya na Maghojoa ikiwa ni baadhi ya ahadi zake alizoahidi katika Kata hizo.
Vifaa alivyokabidhi ni pamoja na Bati 100 kwaajili ya ujenzi wa Ofisi ya CCM wilaya ya Singida Vijijini,Mifuko 80 ya Saruji ujenzi wa Kanisa Katolik Ilongero, Mifuko 30 ya Saruji kwajili wa ujenzi wa darasa shule shikizi ya Mvae Kata ya Merya ,Mifuko 30 kuchangia ujenzi wa nyumbani ya katibu UVCCM wilaya ya Singida Vijijini, Mifuko ya Saruji 10 ujenzi wa nyumbani ya katibu Uvccm Mkoa wa Singida.
Pia amechangia boksi 20 za vitabu ikiwa 16 kwa ni kwaajili ya shule za Sekondari ambavyo ni vya Sayansi na Sanaa na Boksi 4 kwaajili ya shule za msingi pia Mh Monko amekabidhi bati 40 kwaajili ya ujenzi wa Shule ya msingi Maghojoa.
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...


