Mbunge wa jimbo la Singida kaskazi Mh Eng Justin Joseph Monko amekabidhi vifaa vyenye thamani ya sh milioni 14 kwa Kata za Ilongero, Merya na Maghojoa ikiwa ni baadhi ya ahadi zake alizoahidi katika Kata hizo.
Vifaa alivyokabidhi ni pamoja na Bati 100 kwaajili ya ujenzi wa Ofisi ya CCM wilaya ya Singida Vijijini,Mifuko 80 ya Saruji ujenzi wa Kanisa Katolik Ilongero, Mifuko 30 ya Saruji kwajili wa ujenzi wa darasa shule shikizi ya Mvae Kata ya Merya ,Mifuko 30 kuchangia ujenzi wa nyumbani ya katibu UVCCM wilaya ya Singida Vijijini, Mifuko ya Saruji 10 ujenzi wa nyumbani ya katibu Uvccm Mkoa wa Singida.
Pia amechangia boksi 20 za vitabu ikiwa 16 kwa ni kwaajili ya shule za Sekondari ambavyo ni vya Sayansi na Sanaa na Boksi 4 kwaajili ya shule za msingi pia Mh Monko amekabidhi bati 40 kwaajili ya ujenzi wa Shule ya msingi Maghojoa.
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...


