Mbunge wa jimbo la Singida kaskazi Mh Eng Justin Joseph Monko amekabidhi vifaa vyenye thamani ya sh milioni 14 kwa Kata za Ilongero, Merya na Maghojoa ikiwa ni baadhi ya ahadi zake alizoahidi katika Kata hizo.
Vifaa alivyokabidhi ni pamoja na Bati 100 kwaajili ya ujenzi wa Ofisi ya CCM wilaya ya Singida Vijijini,Mifuko 80 ya Saruji ujenzi wa Kanisa Katolik Ilongero, Mifuko 30 ya Saruji kwajili wa ujenzi wa darasa shule shikizi ya Mvae Kata ya Merya ,Mifuko 30 kuchangia ujenzi wa nyumbani ya katibu UVCCM wilaya ya Singida Vijijini, Mifuko ya Saruji 10 ujenzi wa nyumbani ya katibu Uvccm Mkoa wa Singida.
Pia amechangia boksi 20 za vitabu ikiwa 16 kwa ni kwaajili ya shule za Sekondari ambavyo ni vya Sayansi na Sanaa na Boksi 4 kwaajili ya shule za msingi pia Mh Monko amekabidhi bati 40 kwaajili ya ujenzi wa Shule ya msingi Maghojoa.
Source
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...