Wednesday, May 6, 2020
Wakimbizi nusu milioni Kenya hatarini kuambukizwa COVID-19
Karibu wakimbizi nusu milioni wanaoishi katika kambi za wakimbizi Kenya wanakabiliwa na hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa COVID-19.
Kwa mujibu wa taarifa wakimbizi hao wanaaishi katika kambi zenye msongamano mkubwa wa watu na suhula duni za kiafya ya kijamii.
Hadi sasa hakuna kesi ya corona iliyoripotiwa katika kambi hizo lakini Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetangaza kuna mipango ya kukabiliana na COVID-19.
UNHCR imetahadharisa kuwa, maafa makubwa yataibuka iwapo ugongwa wa COVID-19 utaenea miongoni mwa wakimbizi.
Kambi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa Kenya ina wakimbizi 211,365 waliosajiliwa na hivyo kuifanya kuwa kambi ya tatu kwa ukubwa duniani. Kambi nyingine kubwa ya wakimbizi nchini Kenya ni ile ya Kakuma iliyo kaskazini mwa nchi hiyo na inakadiriwa kuwa na wakimbizi 194,000. Aghalabu ya wakimbizi nchini Kenya ni kutoka nchi jirani za Somalia na Sudan Kusini.
Hadi sasa watu 535 wameambukizwa COVID-19 na miongoni mwao 182 wamepona na wengine 24 wameaga dunia.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...

