Wednesday, April 3, 2019
Spika Ndugai atema cheche, 'Bunge hili si dhaifu'
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa Bunge analoliongoza si dhaifu hata kidogo. Amebanisha hayo leo Bungeni wakati mkutano wa 15 wa Bunge ulianza jana ukiendelea.
Utakumbuka hapo jana Bunge lilipitisha azimio la kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad.
"Bunge hili si dhaifu na kama mtu yeyote atajaribu kuingia kwenye 18 zetu anaalikwa kwenye mchezo huu," amesema Spika Ndugai.
Hatua ya kutofanya kazi na CAG ilifikia baada ya kauli yake ya 'udhaifu wa Bunge' aliyoitoa wakati akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Hivyo Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, kubaini kuwa lugha aliyoitumia ililenga kulidharau Bunge na kushusha heshima ya chombo hicho cha Dola, hivyo kamati hiyo ilimtia hatiani.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
