Wednesday, April 3, 2019
Spika Ndugai atema cheche, 'Bunge hili si dhaifu'
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa Bunge analoliongoza si dhaifu hata kidogo. Amebanisha hayo leo Bungeni wakati mkutano wa 15 wa Bunge ulianza jana ukiendelea.
Utakumbuka hapo jana Bunge lilipitisha azimio la kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad.
"Bunge hili si dhaifu na kama mtu yeyote atajaribu kuingia kwenye 18 zetu anaalikwa kwenye mchezo huu," amesema Spika Ndugai.
Hatua ya kutofanya kazi na CAG ilifikia baada ya kauli yake ya 'udhaifu wa Bunge' aliyoitoa wakati akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Hivyo Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, kubaini kuwa lugha aliyoitumia ililenga kulidharau Bunge na kushusha heshima ya chombo hicho cha Dola, hivyo kamati hiyo ilimtia hatiani.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
