1. Uyoga ni chanzo kikubwa na kizuri cha vitamin C, D na Potassium.
2. Uyoga unaondoa hatari ya kuwa na kansa kwa kupambana na kuviondoa vianzilishi vya kansa za aina zote.
3. Uyoga ni tiba ya kisukari kwa waliothariwa tayari na ambao hawajaathiriwa huwa ni kinga pia.
4. Uyoga hufanya damu kuwa nyepesi na hivyo kurahisisha mzunguko wake mwilini na hivyo kuondokana na uchovu na maumivu ya viungo.
5. Uyoga huondoa lehemu iliyoko kwenye moyo hivyo kupambana na Presha ya damu.
6. Uyoga hutibu magonjwa ya athma kwa kuweka mfumo wa upumuaji vyema na hutibu mzio (allergies)
7. Uyoga hutibu na kuzuia matatizo ya figo.
8. Uyoga huimarisha mfumo wa fahamu.
9. Uyoga hupambana na virus visababishavyo HIV/AIDS, hivyo hupunguza makali yake kwa kiwango kikubwa.
JE UNA SABABU GANI YA KUKOSA KULA UYOGA WEWE NA FAMILIA YAKO
NB: Wataalam wanashauri kula uyoga angalau mara mbili kwa wiki kutokana na manufaa yake kiafya.
Onana na wakulima wa uyoga na ununue uyoga uliolimwa kitaalamu kwa bei ya shilingi kati ya 7,000/ na 10,000/ tu kwa kilo moja (inategemea na ulipo), uyoga uliolimwa kitaalam huwa hauna madhara yoyote kwani hupandwa mbegu maalum isiyo na sumu wala madhara katika mwili wa binadamu.
Kikubwa, epuka kununua uyoga wa porini ambao utashindwa kutambua upi ni sumu na upi siyo sumu na hivyo kuhatarisha maisha yako na ya familia yako.
Epuka uyoga wa kwenye makopo una kemikali za kuuhifadhi na hivyo kupunguza ubora wake, tafuta uyoga fresh kutoka kwa wakulima
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri ...
