Thursday, October 25, 2018
Shirika la bima la taifa latoa ushauri wa bure kwa wamiliki wa viwanja vya michezo
Na.Ahmad Mmow, Lindi
SHIRIKA la bima la taifa (NIC) licha ya kuchangia shilingi 10,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoa wa Lindi limetoa wito kwa wamiliki wa viwanja vya michezo nchini kuvikatia bima viwanja hivyo.
Wito huo umetolewa leo mjini Ruangwa na meneja wa bima wa tawi la Lindi, Azaria Mpolenkile aliyemuwakilisha mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo (Sam Kamanga) wakati wa hafla ya kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi 10 milioni kwa halmashauri ya wilaya ya Ruangwa kwaajili ya ujenzi wa uwanja huo wa mpira hafla ambayo ilifanyika mjini Ruangwa.
Mpolenkile alisema kuna umuhimu mkubwa kwa wamiliki wa viwanja vya michezo nchini kukatia bima viwanja wanavyomiliki ili kuwahakikishia fidia watazamaji wanaokuwa ndani ya viwanja hivyo wakati wanaangalia michezo, ili wawe na uhakika wakufidiwa pindi ikitokea ajali.
Alisema ndani ya viwanja vya michezo kunakuwa na watu wengi wanaoingia kwenda kuangalia michezo Hata hivyo kunaweza kutokea ajali ambazo zinaweza kusababisha watu hao kujeruhiwa na kuwasabishia ulemavu na wengine kufa.
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
