Thursday, October 25, 2018
Shirika la bima la taifa latoa ushauri wa bure kwa wamiliki wa viwanja vya michezo
Na.Ahmad Mmow, Lindi
SHIRIKA la bima la taifa (NIC) licha ya kuchangia shilingi 10,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoa wa Lindi limetoa wito kwa wamiliki wa viwanja vya michezo nchini kuvikatia bima viwanja hivyo.
Wito huo umetolewa leo mjini Ruangwa na meneja wa bima wa tawi la Lindi, Azaria Mpolenkile aliyemuwakilisha mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo (Sam Kamanga) wakati wa hafla ya kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi 10 milioni kwa halmashauri ya wilaya ya Ruangwa kwaajili ya ujenzi wa uwanja huo wa mpira hafla ambayo ilifanyika mjini Ruangwa.
Mpolenkile alisema kuna umuhimu mkubwa kwa wamiliki wa viwanja vya michezo nchini kukatia bima viwanja wanavyomiliki ili kuwahakikishia fidia watazamaji wanaokuwa ndani ya viwanja hivyo wakati wanaangalia michezo, ili wawe na uhakika wakufidiwa pindi ikitokea ajali.
Alisema ndani ya viwanja vya michezo kunakuwa na watu wengi wanaoingia kwenda kuangalia michezo Hata hivyo kunaweza kutokea ajali ambazo zinaweza kusababisha watu hao kujeruhiwa na kuwasabishia ulemavu na wengine kufa.
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
