Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametolea maelezo sakata la zao la korosho ambapo amesema kuwa endapo wafanyabiashara watakataa kununua kwa bei elekezi ya Tsh 3000 kwa kilo.
Akizungumza na wafanyabiashara wa korosho Ikulu jana Oktoba 28, 2018 Rais Magufuli amewataka wafanyabiashara kununua korosho kwa bei isiyopungua elfu 3000 na kama watakataa basi serikali ipo tayari kununua.
"Kama hamtaki kununua Korosho kwa bei ya maslahi kwa wakulima, Serikali itazinunua kwa bei nzuri na tutazihifadhi, nipo tayari hata kutumia majeshi yetu kununua Korosho na tutatafuta masoko ya uhakika ili tuuze kwa bei nzuri."amesema Rais Magufuli.
"Serikali ina hela, inaweza kununua Korosho za wakulima wa Lindi na Mtwara kwa siku mbili. Tumenunua ndege, tumejenga reli, hatuwezi kushindwa kununua Korosho,"ameeleza Magufuli.
Wakati tamko hilo likijiri hapo jana, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe aliongelea sakata hilo akitaka serikali itoke hadharani kueleza sakata hilo.
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
