Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametolea maelezo sakata la zao la korosho ambapo amesema kuwa endapo wafanyabiashara watakataa kununua kwa bei elekezi ya Tsh 3000 kwa kilo.
Akizungumza na wafanyabiashara wa korosho Ikulu jana Oktoba 28, 2018 Rais Magufuli amewataka wafanyabiashara kununua korosho kwa bei isiyopungua elfu 3000 na kama watakataa basi serikali ipo tayari kununua.
"Kama hamtaki kununua Korosho kwa bei ya maslahi kwa wakulima, Serikali itazinunua kwa bei nzuri na tutazihifadhi, nipo tayari hata kutumia majeshi yetu kununua Korosho na tutatafuta masoko ya uhakika ili tuuze kwa bei nzuri."amesema Rais Magufuli.
"Serikali ina hela, inaweza kununua Korosho za wakulima wa Lindi na Mtwara kwa siku mbili. Tumenunua ndege, tumejenga reli, hatuwezi kushindwa kununua Korosho,"ameeleza Magufuli.
Wakati tamko hilo likijiri hapo jana, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe aliongelea sakata hilo akitaka serikali itoke hadharani kueleza sakata hilo.
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
