Wednesday, August 22, 2018

Diamond Kuongeza Jumba Jingine la Kifahari Afrika Kusini

Diamond Kuongeza Jumba Jingine la Kifahari Afrika Kusini
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa ana mpngo wa kununua nyumba nyingine nchini Afrika Kusini.

Muimbaji huyo anayetamba na ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Jibebe ametumia Insta Strory kueleza hilo.

"Still in love with my first South Africa house.... adding the new house in here before end of the year," ameeeleza Diamond Platnumz.

Nyumba ya sasa iliyopo Afrika Kusini ndipo inaishi familia yake, yaani mzazi mwenzie Zari The Bosslady na wanae wawili, Tiffah na Nillan.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...