Thursday, May 15, 2025

AGGYBABY AINGIA KWENYE TUZO ZA KIMATAIFA – EAEA TANZANIA 2025


Mrembo maarufu, mahiri na mwenye vipaji lukuki, Agness Suleiman (Aggybaby), ameandika historia mpya baada ya kutangazwa kuwa miongoni mwa wateule wa Tuzo kubwa za Kimataifa za Africa Arts Entertainment Awards (EAEA) 2025 zinazofanyika nchini Tanzania.


Kupitia ukurasa wake rasmi, Aggybaby ameandika kwa furaha:

"Nawashukuru sana kwa support zenu nyie mashabiki zangu πŸ™ Hatimaye nimeingia kwenye tuzo kubwa ya kimataifa katika vipengele vingi ikiwemo Music, Maigizo pamoja na mambo ya kijamii πŸ’Ž"

Aggybaby ametajwa kwenye vipengele vitano vya heshima:

πŸ‘‰Actress of the Year

πŸ‘‰Best Female Fashion Designer

πŸ‘‰Best Inspirational Youth Icon/Motivator

πŸ‘‰Best Upcoming Artist (Female)

πŸ‘‰Founder of the Year (kupitia Tupaze Sauti Foundation)

Uteuzi huu si tu unaonesha ukubwa wa kipaji chake, bali pia mchango wake kwa jamii na vijana wa Kitanzania.

Mashabiki na Watanzania kwa ujumla wanahimizwa kuendelea kumuunga mkono msanii huyu wa kipekee ambaye ni fahari ya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ.

#Aggyfahariyatanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
#EAEATanzania2025
#TalantaZaKikwetu
#EAEACountryLevelAwards2025

πŸ‘‰ Mfuatilie @eaea_tanzania na @eaea_awards_inc kwa taarifa zaidi.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...