Monday, July 22, 2024

Simba Kiboko, Yamfunga Mtu bao 3 Bila Pre Season




Mechi ya dakika 120 imekamilika huko Misri na Simba kufanikiwa kushinda jumla ya magoli 3-0 dhidi ya El Qanah katika mchezo wa kirafiki wa mwendelezo wa maandalizi ya msimu mpya.

Mchezo huo umechezwa kwa vipindi vitatu tofauti ambapo kila kipindi kilikuwa na dakika 40.

Magoli ya Simba yamefungwa na Ahoua ameingia kimiani mara mbili na Okejepha
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...