KIKAO CHA SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM NA KAMATI ZA UTEKELEZAJI ZA JUMUIYA ZA CCM CAFANYIKA JIJINI DODOMA
KATIBU Mkuu CCM Dkt Bashiru Ally akizungumza wakati wa Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Kamati za Utekelezaji za Jumuiya za Chama - UVCCM, UWT NA WAZAZI ukumbi wa White House jijini Dodoma leo