Walinzi wa pwani wa Italia wamesema leo wamewaokoa karibu wahamiaji 100 katika boti la mpira ambalo lilikuwa limejaa upepo nusu nje ya pwani ya Libya baada ya maafisa katika nchi nyingine kushindwa kuingilia kati.
Walinzi hao wa pwani wamesema boti hiyo ya mpira inayojazwa upepo ilionekana na ndege jana mchana katika kanda ya Libya ya utafutaji na uokoaji, SAR, bila ya injini na ikiwa na imejazwa upepo nusu.
Mamlaka ya Libya inayohusika na shughuli za utafutaji na uokoaji baharini haikuchukua uratibu wa operesheni za uokoaji kutokana na uhaba wa vifaa vya baharini, kikosi cha ulinzi wa pwani kimesema katika taarifa.
Wahamiaji 84, ambao ni pamoja na wanawake sita na watoto wawili walisafirishwa alfajiri ya leo kutoka katika boti yao ambayo ilikaribia kuzama kwenda katika meli ya Italia, ambayo ilikuwa inaelekea katika kisiwa cha Lampedusa.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...