Walinzi wa pwani wa Italia wamesema leo wamewaokoa karibu wahamiaji 100 katika boti la mpira ambalo lilikuwa limejaa upepo nusu nje ya pwani ya Libya baada ya maafisa katika nchi nyingine kushindwa kuingilia kati.
Walinzi hao wa pwani wamesema boti hiyo ya mpira inayojazwa upepo ilionekana na ndege jana mchana katika kanda ya Libya ya utafutaji na uokoaji, SAR, bila ya injini na ikiwa na imejazwa upepo nusu.
Mamlaka ya Libya inayohusika na shughuli za utafutaji na uokoaji baharini haikuchukua uratibu wa operesheni za uokoaji kutokana na uhaba wa vifaa vya baharini, kikosi cha ulinzi wa pwani kimesema katika taarifa.
Wahamiaji 84, ambao ni pamoja na wanawake sita na watoto wawili walisafirishwa alfajiri ya leo kutoka katika boti yao ambayo ilikaribia kuzama kwenda katika meli ya Italia, ambayo ilikuwa inaelekea katika kisiwa cha Lampedusa.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
