Ugiriki na Israel zimepanga kushirikiana kwenye kurejea upya kwa shughuli za utalii kati yao katika mwezi Agosti, huku zikieleza wasiwasi wao juu ya hatua ya Uturuki kuanza utafutaji mafuta na gesi kwenye eneo la mashariki mwa Mediterenia.
Waziri Mkuu wa Ugiriki, Ky-ria-kos Mit-so-takis, ambaye yuko kwenye ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu kuanza kwa janga la COVID-19, amefanya mazungumzo na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, mjini Tel Aviv, kuhusiana na mpango wa nchi zao pamoja na Cyprus kusaka gesi asilia na utalii.
Ugiriki ilifunguwa milango yake jana Jumatatu kwa wasafiri wa Umoja wa Ulaya. Israel, ambayo raia wake milioni 1.2 hutembelea Ugiriki kila mwaka, ni soko kubwa kwa taifa hilo la Ulaya.
Netanyahu amesema kwamba kuanzia tarehe 1 Agosti, wageni kutoka Ugiriki hawatalazimika kujiweka karantini ya siku 14 kama ilivyo sasa.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
