Ugiriki na Israel zimepanga kushirikiana kwenye kurejea upya kwa shughuli za utalii kati yao katika mwezi Agosti, huku zikieleza wasiwasi wao juu ya hatua ya Uturuki kuanza utafutaji mafuta na gesi kwenye eneo la mashariki mwa Mediterenia.
Waziri Mkuu wa Ugiriki, Ky-ria-kos Mit-so-takis, ambaye yuko kwenye ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu kuanza kwa janga la COVID-19, amefanya mazungumzo na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, mjini Tel Aviv, kuhusiana na mpango wa nchi zao pamoja na Cyprus kusaka gesi asilia na utalii.
Ugiriki ilifunguwa milango yake jana Jumatatu kwa wasafiri wa Umoja wa Ulaya. Israel, ambayo raia wake milioni 1.2 hutembelea Ugiriki kila mwaka, ni soko kubwa kwa taifa hilo la Ulaya.
Netanyahu amesema kwamba kuanzia tarehe 1 Agosti, wageni kutoka Ugiriki hawatalazimika kujiweka karantini ya siku 14 kama ilivyo sasa.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...