Friday, June 19, 2020
Spika Ndugai: Tulifika mahali ambapo live camera ikaliharibu Bunge
"Tulifika mahali ambapo live camera ikaliharibu Bunge, Watu wakawa wanatukana, wanakuwa na tabia mbaya, unakuta mmekubaliana kabisa kwenye kamati kila kitu, jambo lile lile likiingia Bungeni inakuwa kama mchezo wa kuigiza" - SPIKA NDUGAI
"Live Camera' iliharibu Bunge, watu wakawa wanatukana,kitu hakiingii Bungeni kinapitia kwenye kamati mbalimbali kimechujwa, mnakubaliana likiingia Bungeni tu wanabadilika sio yule, wanafanya maigizo, kamera isipokuwepo anafikiri sawasawa, ikiwepo camera anabadilika"-NDUGAI
"Hata kwa Mabunge ya Nchi zilizoendelea kama Uingezereza si kweli kwamba ni Live kihivyo, wanaicheleweshea kama dakika mbili au tatu kati ya kinachotokea Live na kinachokuwa Live wanajaribu ku-edit kidogo vitu ambavyo ni aibu kwa Taifa"-SPIKA NDUGAI
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...