Friday, June 19, 2020
Spika Ndugai: Tulifika mahali ambapo live camera ikaliharibu Bunge
"Tulifika mahali ambapo live camera ikaliharibu Bunge, Watu wakawa wanatukana, wanakuwa na tabia mbaya, unakuta mmekubaliana kabisa kwenye kamati kila kitu, jambo lile lile likiingia Bungeni inakuwa kama mchezo wa kuigiza" - SPIKA NDUGAI
"Live Camera' iliharibu Bunge, watu wakawa wanatukana,kitu hakiingii Bungeni kinapitia kwenye kamati mbalimbali kimechujwa, mnakubaliana likiingia Bungeni tu wanabadilika sio yule, wanafanya maigizo, kamera isipokuwepo anafikiri sawasawa, ikiwepo camera anabadilika"-NDUGAI
"Hata kwa Mabunge ya Nchi zilizoendelea kama Uingezereza si kweli kwamba ni Live kihivyo, wanaicheleweshea kama dakika mbili au tatu kati ya kinachotokea Live na kinachokuwa Live wanajaribu ku-edit kidogo vitu ambavyo ni aibu kwa Taifa"-SPIKA NDUGAI
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
