Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa CCM katika kikao chake leo Dodoma ikiongozwa na Dkt. Magufuli, Rais wa Tanzania na Mwenyekiti CCM Taifa, imeridhishwa na maandalizi ya uchaguzi mkuu na kuelekeza kutolewa kwa ratiba ya mchakato wa ndani wa uteuzi wa wanaoomba dhamana ya uongozi katika vyombo vya Dola.
"Kamati Kuu imepokea taarifa ya maendeleo ya uandishi wa mweleko wa Sera za CCM kwa mwaka 2020-2030 na kujiridhisha kuwa kazi nzuri imefanyika mpaka ngazi ya rasimu ya pili, imepitia kwa mara ya pili taarifa ya uandishi wa Ilani ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2020"-POLEPOLE
"Kamati Kuu imepokea taarifa ya Serikali juu ya mapambano ya dhidi ya corona na hatua ambazo zimechukuliwa kuukabili ugonjwa huo kwa mafanikio Tanzania, na kwa kauli moja kikao kimempongeza Rais Magufuli kwa msimamo thabiti usioyumba katika kipindi chote cha corona"-POLEPOLE
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
