Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa CCM katika kikao chake leo Dodoma ikiongozwa na Dkt. Magufuli, Rais wa Tanzania na Mwenyekiti CCM Taifa, imeridhishwa na maandalizi ya uchaguzi mkuu na kuelekeza kutolewa kwa ratiba ya mchakato wa ndani wa uteuzi wa wanaoomba dhamana ya uongozi katika vyombo vya Dola.
"Kamati Kuu imepokea taarifa ya maendeleo ya uandishi wa mweleko wa Sera za CCM kwa mwaka 2020-2030 na kujiridhisha kuwa kazi nzuri imefanyika mpaka ngazi ya rasimu ya pili, imepitia kwa mara ya pili taarifa ya uandishi wa Ilani ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2020"-POLEPOLE
"Kamati Kuu imepokea taarifa ya Serikali juu ya mapambano ya dhidi ya corona na hatua ambazo zimechukuliwa kuukabili ugonjwa huo kwa mafanikio Tanzania, na kwa kauli moja kikao kimempongeza Rais Magufuli kwa msimamo thabiti usioyumba katika kipindi chote cha corona"-POLEPOLE
Source
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...