Wanajeshi 500 wa kikosi cha ulinzi wa taifa pamoja na wanajeshi wa anga wamesambazwa kwenye miji ya kaskazini mwa Marekani ya Minnesota na St. Paul baada ya siku tatu za maandamano ya vurugu, kufuatia kifo cha mmarekani mweusi George Floyd.
Meja Jenerali wa jeshi Jon Jensen wa kikosi cha walinzi hao cha Minnesota amesema wanajeshi waliosambazwa wana mafunzo ya kuwalinda raia, mali na kuhakikisha haki ya watu kuandamana kwa amani.
Hatua hiyo ilianza usiku wakati waandamanaji walipoanza kupora na kuchoma majengo kadhaa kote kwenye miji hiyo, kufuatia ghadhabu zilizochochewa na ukatili wa polisi dhidi ya Mmarekani mwenye asili ya Afrika.
Wanajeshi hao watasaidia polisi wa miji hiyo kulinda amani kuanzia leo.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...