Wakati Tanzania imetangaza kufungua Viwanja vya Ndege na kukaribisha Watalii pia, Nchi ya Ugiriki ambayo ipo kusini Mashariki mwa Ulaya imesema kuanzia June 15 2020 itaruhusu Watalii kuingia Nchini humo.
Waziri Mkuu wa Ugiriki Kyriakos Mitsotakis amesema kwa sasa Watalii wataoruhusiwa ni wale tu wanaotoka Nchi zenye maambukizi madogo ya ugonjwa wa COVID19 unaotokana na virusi vya corona.
Mitsotakis pia amesema Ndege nyingi zitaanza kuruhusiwa kuingia kwenye Nchi hiyo July 1 2020, ikumbukwe mpaka sasa Ugiriki ni miongoni mwa Mataifa ya Ulaya yenye idadi ndogo ya vifo vilivyotokana na corona ambapo ni vifo 170 na Wagonjwa 3000 wa corona.
"Tutashinda vita ya kiuchumi kama tulivyoshinda vita dhidi ya afya zetu, Watalii wataruhusiwa kuingia Nchini kwetu bila kupimwa corona na bila kuwekwa karantini lakini Wataalamu wa Afya watasimamia tahadhari zote na kwenye sehemu maarufu za Utalii vikosi vya Wataalamu wa Afya pia vitaongezwa.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
