Tuesday, May 5, 2020
Lema Acharuka "Kuna Watu Wanafikiri Kufa Kwa Demokradia ni Hasara Kwa Chadema"
Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema amesema wapo baadhi ya watu wanadhani kifo cha Demokrasia ni hasara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Lema amesema wajibu wa kulinda demokrasia ni kazi ya kila mtu wanaokosa nidhamu katika kusimamia kanuni wameleta majozi.
Mbunge huyo aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter kuwa endapo ukawafundisha watoto wako kujitegemea alafu wakashindwa kuheshimu haki watabaki kuwa watumwa.
"Ukiwafundisha watoto wako kujitegemea alafu wasijue kuheshimu haki bado wataendelea kuwa watumwa," aliandika Lema katika ukurasa wake wa twitter
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
