Tuesday, April 21, 2020
Wabunge wa Uingereza kushiriki vikao kwa njia ya video
Bunge la Uingereza linarejea leo baada ya mapumziko ya Pasaka huku wabunge wakihimizwa kutumia njia ya video kushiriki shughuli zilizopangwa ikiwa ni matokeo ya mlipuko wa virusi vya corona.
Kanuni za jamii kujitenga zinataka kuwepo umbali wa mita mbili baina ya watu sharti ambalo linalomaanisha ukumbi wa bunge mjini London hautokuwa na nafasi ya kutosha kwa idadi ya wabunge 650.
Wabunge wa nchi hiyo wametakiwa kutumia njia ya video kushiriki mijadala hatua ya kwanza kuchukuliwa katika historia ya miaka 700 ya uwepo bunge la Uingereza.
Uingereza bado imeweka marufuku dhidi ya shughuli za kawaida kufutia mlipuko wa virusi vya corona ambavyo vimewauwa zaidi ya watu 16,500 na wengine wengi kuambukizwa ikiwemo waziri mkuu Boris Johnson.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
