Wednesday, April 22, 2020
Kadio akagua maendeleo ya kituo kipya cha polisi Mbande
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Aliyenyoosha kidole), akielekeza jambo kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, alipokuwa akikagua Ujenzi wa Kituo Kipya cha Polisi Mbande, Wilayani Kongwa, Dodoma. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Wa kwanza kushoto), akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, aliyekuwa akionyesha Jengo la Kituo Kipya cha Polisi Mbande katika Wilaya ya Kongwa, Jijini Dodoma. Kadio aliyeambatana na Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Wa pili kulia) na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo amekagua Maendeleo ya Ujenzi wa Kituo hicho.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Wa kwanza kulia), akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, aliyekuwa akitoa taarifa ya Ujenzi wa Kituo Kipya cha Polisi Mbande Wilayani Kongwa, Jijini Dodoma ambacho Katibu Mkuu Kadio amekagua Maendeleo ya Ujenzi wa Kituo hicho akiwa ameambatana na Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani kailima pamoja na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo.
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...


