Baada ya wiki kadhaa za kutoelewana -- hasa kati ya Marekani na China -- Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakutana leo kujadili janga la virusi vya corona kwa mara ya kwanza.
Wakiongozwa na Ujerumani, tisa kati ya wanachama 10 wasio wa kudumu wa baraza hilo wiki iliyopita waliitisha kikao cha faragha -- mkutano wa video ili kuepuka kukaribiana -- baada ya kuchoshwa na ukosefu wa hatua kutoka kwa baraza hilo kuhusiana na mgogoro huu wa kimataifa usio wa kawaida.
Wanadiplomasia wamesema mazungumzo yako kwenye mkondo mzuri na Marekani haisisitizi tena kwamba lugha inayopaswa kutumiwa na Umoja wa Mataifa ionyeshe kuwa virusi hivyo vinatokea China, kitu ambacho kiliikasirisha China.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anatarajiwa kulenga juhudi za kupambana na janga hilo, operesheni za kulinda amani na kukuza umoja kati ya wanachama wasio wa kudumu na watano ambao ni wa kudumu.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...