Sharaf Eldin Shiboub Ali Abdalrahman amejiunga na Mabingwa wa nchi ya Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja, leo.
Huyo ni mchezaji wa timu ya taifa ya Sudan tangu akiwa na miaka 17 akitokea kwa mabingwa mara tatu mfululizo wa Ligi Kuu ya Sudan klabu ya Al Hilal.