Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeomba radhi kwa mashabiki kWA kupoteza mchezo wao wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) itakayofanyika Camerooni.
Stars walikuwa kwenye nafasi nzuri endapo wangeshinda wangefanikiwa kufuzu moja kwa moja ila kwa kuwa walipoteza kwa kufungwa bao 1-0 watalazimika kusubiri mpaka mwakani baada ya mechi za mwisho kuchezwa.
Beki wa kulia wa Stars, Erasto Nyoni amesema kuwa wanatambua wamepoteza furaha ya mashabiki hivyo wanaomba msamaha kwa kufanya hivyo kwani walipambana wakashindwa kupata matokeo.
"Hakuna ambaye amefurahi kushindwa hasa kwa kuwa taifa lilituamini na tuliahidi kufa na kupona ili tuweze kupata matokeo ila tumepoteza bado tunaamini tutafanya vizuri katika mchezo wetu wa mwisho, kikubwa sapoti watanzania msituache," alisema.
Kwenye Kundi L timu ya Uganda imefanikiwa kufuzu Fainali hizo huku ushindani ukibaki kwa timu mbili ambazo ni Tanzania na Lesotho wakiwa na pointi 5, matumaini yatajulikana mwezi Machi kwa timu ya Tanzania kama watashinda dhidi ya Uganda huku Lesotho wakipoteza kwa Cape Verde.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
