Sunday, November 18, 2018
Shabiki Amtaja Zari kama Mwanamapinduzi wa Fashion Tanzania.
Kila mtu anaweza kuongea ake kulingana na msiamamo wake na kile anachokiamini hasa inapokuja kwenye swala la kuwa shabiki wa kitu flani.
Moja ya shabiki wa Zari the Bossy amemsifia mwanamama huyo kuwa ndie aliekuwa kuiokoa fashio ya tanzania na kwamba wadada wengi a tanzania walikuwa hawajui kuvaa zaidi ya kujivalia kila kitu lakini tagu amekujwa mwanamama huyo kutoka uganda alipotambulishwa na diamond tanzania amekuwa msaada kwa wanawake wengine.
Shabiki huyo pia anasema kuwa wanawake wengi wa tanznia walikuwa hawataki kufanya kazi zaidi ya kudanga (kujiuza ) ili kupata pesa lakii zari amewasaidia wanawake hawa kupata akili ya kufnya kazi zao ili kujipatia pesa.
Mwanadada huyo ameonekana kuwatolea povu sana wanawake wa tanzania kuwa pamoja na kwamba kwa sasa wanamchukia mama huyo lakini ukwlei utabaki kuwa aliwasaidia sana kubadlisha mionekna na mitazamo yao ya maisha hasa kwa wanawake wanajiita matajiri katika mitandao ilhali hakuna kitu.
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri ...
