Monday, October 22, 2018

Jose Morinho amtafuta mchawi wake ndani ya United, adai haiwezekani siri yake kuvuja mitandaoni 

Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho ameanzisha uchunguzi ndani ya timu hiyo kufahamu aliyetoboa siri ya orodha ya kikosi chake ‘line-up’ alichokipanga kwaajili ya kuikabili Chelsea mchezo uliyomalizika kwa sare ya mabao 2 – 2 Jumamosi iliyopita. Mourinho alitoka kwenye hoteli waliyofikia na kwenda kutafuta ukweli juu ya aliyetoboa siri hiyo na kuposti kwenye mitandao …

The post Jose Morinho amtafuta mchawi wake ndani ya United, adai haiwezekani siri yake kuvuja mitandaoni  appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...