Tuesday, March 4, 2025
Rais Samia apongezwa kwa kutoa sadaka ya iftari kwa wahitaji Tanga
Mufti Mkuu wa Tanzania Shekh Abubakary Zuberi Bin Ally amewataka waumini wote wa dini ya kiislam nchini kuitunza neema waliopewa na Mungu hususani kipindi huki cha Mfungo wa Ramadhani .
Hayo aliyasema wakati akizungumza katika msikiti wa Tamta uliopo jijini Tanga ambapo walifuturisha watu mbalimbali wakiwemo watoto yatima na wenye uhitaji kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samaia Suluhu Hassan.
Aidha alisema kuwa ni vyemq waumuini kuitunza neema waliojaaliwa na Mungu kwani neema ya Mungu ndio inayowalinda katika maisha yao, sambamba hayo alimshukuru Rais Samia kwa kuwashirikisha viongozi wa dini katika ziara yake ya siku saba katika mkoa wa Tanga.
Kwa Upande wake Mwenyeiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajabu Abdulrahaman Abdalah alisema wanamshukuru na kumpongeza Rais Samaia Siluhu Hassan kwa kuvunja rekodi ya kukaa kwa siku siku saba katika mkoa wa Tanga kwani haijawahi kutokea.
Naye Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian amewaponeza na kuwashukuru wananchi wa Mkoa wa Tanga kwa mapokezi mazuri ya Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samaia Siluhu Hassan Tangu alipoanza ziara Yake ya Kikazi mkoani humo ambapo alitembelea wilaya zote ndani ya mkoa.
Alisema kwa namna ambayo wananchi waliitokeza kwa wengi serikali imefarijika sana na tunawaahidi kuendelea kushikamana siku zote kwani wameishimisa serikali mkoa jambo ambalo limedhihirisha Upendo kwa Mh.Rais Dkt Samia.
Balozi Buriani alisema kuwa ujio wa Rais Dkt. Samia kwa mkoa Tanga umeleta hamasa kubwa kwani amezindua miradi mingi iliyogharimu kiasi cha sh.Tirilion moja na Milioni Mia nane jambo ambalo imeonyesha kuwa kazi kubwa iliyofanywa na serikali .
"Tumshukuru sana rais kwa kutuzinduliwa miradi mikubwa ikiwemo Bandari uliogharimu Bilion 429 ,jengo la utawala Bumbuli wilayani Lushoto,Hospitali ya wilaya ya Handeni ,Mradi wa maji wa miji 28 na miradi mingine mingi ." alisema Balozi Buriani
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...