Friday, October 16, 2020
ZEC yamfungia Maalim Seif kufanya kampeni kwa siku 5.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemsimamisha mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad kutofanya mikutano ya kampeni za Urais kwa siku 5 baada ya kuonekana na kosa la uvunjifu wa maadili.
Akitangaza maamuzi ya Kamati ya maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar Katibu wa Kamati hiyo ya Maadili Khamis Issa Khamis amesema tume ilipokea malalmiko kutoka kwa mgombea wa Urais wa chama cha Demokrasia Makini Ameir Hassan Ameir dhidi ya mgombea Maalim Seif ya kuhamasisha wananchama wake wakapige kura siku ya kura ya awali.
Katibu wa kamati amesema kamati ilisikiliza hoja zote na kuona kuwa mgombea Maalim Seif ametenda kosa hilo na kumpa adhabu kwa mujibu wa sheria kifungu cha 23 D za kanuni za maadili.
Kamati hiyo ya maadili imetoa fursa kwa Maliam Seif kukata rufaa endapo haajridhika na mammzui hayo
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri ...
