Friday, June 5, 2020
Mamia waandamana Hong Kong wakidai demokrasia
Mamia ya waandamanaji wa Hong Kong wameandamana leo wakitoa kauli za kuunga mkono demokrasia, siku moja baada ya maelfu ya watu kukaidi amri ya polisi ya kufanya kumbukumbu ya ukandamizaji uliofanywa na China katika uwanja wa Tiananmen mwaka 1989.
Waandamanaji walishiriki maandamano hayo ya amani katika eneo kuu la kibiashara la mji huo na maandamano hayo yakaisha kwa amani baada ya saa moja.
Maadhimisho ya jana ya ukandamizaji uliofanywa na China dhidi ya wanafunzi wa Hong Kong waliofyatuliwa risasi na polisi katika uwanja wa Tiananmen yalikuwa muhimu mno ukizingatia kuwa serikali kuu ya China imeiridhia rasimu ya sheria za usalama kwa mji huo.
Ilikuwa mara ya kwanza jana katika kipindi cha miaka 31 ambapo rabsha zilitatiza kile ambacho kinastahili kuwa siku ya huzuni kwa Hong Kong.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
