Friday, June 5, 2020
Mamia waandamana Hong Kong wakidai demokrasia
Mamia ya waandamanaji wa Hong Kong wameandamana leo wakitoa kauli za kuunga mkono demokrasia, siku moja baada ya maelfu ya watu kukaidi amri ya polisi ya kufanya kumbukumbu ya ukandamizaji uliofanywa na China katika uwanja wa Tiananmen mwaka 1989.
Waandamanaji walishiriki maandamano hayo ya amani katika eneo kuu la kibiashara la mji huo na maandamano hayo yakaisha kwa amani baada ya saa moja.
Maadhimisho ya jana ya ukandamizaji uliofanywa na China dhidi ya wanafunzi wa Hong Kong waliofyatuliwa risasi na polisi katika uwanja wa Tiananmen yalikuwa muhimu mno ukizingatia kuwa serikali kuu ya China imeiridhia rasimu ya sheria za usalama kwa mji huo.
Ilikuwa mara ya kwanza jana katika kipindi cha miaka 31 ambapo rabsha zilitatiza kile ambacho kinastahili kuwa siku ya huzuni kwa Hong Kong.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...