Friday, June 5, 2020
Mamia waandamana Hong Kong wakidai demokrasia
Mamia ya waandamanaji wa Hong Kong wameandamana leo wakitoa kauli za kuunga mkono demokrasia, siku moja baada ya maelfu ya watu kukaidi amri ya polisi ya kufanya kumbukumbu ya ukandamizaji uliofanywa na China katika uwanja wa Tiananmen mwaka 1989.
Waandamanaji walishiriki maandamano hayo ya amani katika eneo kuu la kibiashara la mji huo na maandamano hayo yakaisha kwa amani baada ya saa moja.
Maadhimisho ya jana ya ukandamizaji uliofanywa na China dhidi ya wanafunzi wa Hong Kong waliofyatuliwa risasi na polisi katika uwanja wa Tiananmen yalikuwa muhimu mno ukizingatia kuwa serikali kuu ya China imeiridhia rasimu ya sheria za usalama kwa mji huo.
Ilikuwa mara ya kwanza jana katika kipindi cha miaka 31 ambapo rabsha zilitatiza kile ambacho kinastahili kuwa siku ya huzuni kwa Hong Kong.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...