Wednesday, April 8, 2020
FIFA: Mikataba ya wachezaji irefushwe, kuruhusu kuhamishwa usajili wa wachezaji
Shirikisho la kandanda duniani FIFA limependekeza kurefushwa kwa mikataba ya wachezaji ambayo ilipaswa kukamilika mwezi Juni na kusema kuwa litaruhusu madirisha ya usajili wa wachezaji kuhamishwa ili kuruhusu kurefushwa kwa msimu wa sasa wa kandanda la Ulaya kutokana na janga la COVID-19.
FIFA pia imesema kuwa itavihimiza vilabu na wachezaji "kushauriana ili kufikia makubaliano na suluhisho wakati wa kipindi ambacho mashindano yamesitishwa na kuwa mchezo wa kandanda unapaswa kukabiliana na hasara isiyo ya kawaida ya mapato.
Virusi vya corona vimesitisha shughuli za kandanda kote duniani, huku ligi za kitaifa zikisitishwa kwa muda na mashindano makuu kama vile Euro 2020 na Copa Amerika, yakiahirishwa hadi mwaka ujao.
Shirikisho la Kandanda Ulaya - UEFA limesema linataka msimu wa 2019-2020 ukamilishwe uwanjani, hata kama ina maana kuurefusha hadi Agosti.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
