Thursday, April 23, 2020
CCM yatoa vifaa kupambana na corona
Na Muhadh Mohammed.
Chama cha mapinduzi mkoa wa wa Ruvuma kimetoa vifaa mbali mbali na kukabidhi kwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme kwa ajiri yua kupambana na ugonjwa wa covid 19 unao sababishwa na virusi vya corona.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa na mwenye kiti wa chama cha mapinduzi mkoa wa Ruvuma Bw.Oddo Mwisho amesema vifaa hivyo ni Thermal scanner tatu vitakasa mikono ishirini ndoo za maji na sabuni za maji Kumi na nne pamoja na matenki ya maji matano vifaa hvyo virivyo gharimu kiasi cha shilingi milioni tatu.
Kwaniaba ya mkoa mkuu wa mkoa Ruvuma bi.Christina Mndeme amekishukuru chama cha mapinduzi mkoa wa Ruvuma kwa kuendeleza vita dhidi ya ugonjwa wa covd 19 na kuahidi vifaa hivyo kuvisambaza katika maeneo tofauti ikiwemo na maeneo ya mipakani.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
