MSANII wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amefunua siri ambayo watu wengi walikuwa hawaijui kwamba enzi za utoto wake alikuwa hapendi wageni wafike nyumbani kwao wakati wa kula kwa sababu alikuwa anaona watawamalizia chakula chao.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda msanii huyo alisema kuwa, alikuwa hapendi kabisa hayo mambo ya wageni kwenda nyumbani kwao wakati wa chakula, kwa kuhofia kuwa watamaliza chakula chao, hali iliyopelekea kupigwa na mama yake kila siku kwa ajili ya tabia yake hiyo mbaya.
"Nakumbuka enzi za utoto wangu nilikuwa sipendi wageni kabisa hasa linapokuja suala la kula, yaani nilikuwa naona kama wakija watatumalizia chakula, hivyo hali hiyo mama yangu alikuwa haipendi, alikuwa ananipiga kila siku, nikikumbuka acha tu kwani nimechapwa sana, hata hivyo sasa nashukuru Mungu hiyo tabia ilikuja kuisha," alisema Shamsa.
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...