Mjumbe wa Baraza la Wazee Yanga, Ibrahim Akilimali amesema anatamani kuona tarehe 5 Mei inafika haraka ili uchaguzi mkuu wa klabu hiyo ufanyike.
Yanga itafanya uchaguzi wake mkuu mei 5 ili kupata viongozi wake wapya ambao wataongoza kwa muda wa miaka minne ijayo.
Akilimali amesema amekuwa na uchu wa kuiona Yanga inafanikiwa kupata viongozi wapya kwani imekaa muda mrefu bila kuwa na uongozi.
Ameeleza anatamani tarehe 5 ifike haraka ili naye akapige kura yake kwani ni haki yake na amejinadi lazima akapige kwa kiongozi ambaye kwake anaamini ataleta mabadiliko Yanga.
Aidha, Akilimali amewataka wanachama wa Yanga kuhakikisha wanachagua kiongozi makini na mwenye sifa nzuri za kuiongoza klabu yao ili ifike mbali kimaendeleo.
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...