Friday, March 22, 2019
Wanafunzi wa kike walia na wadau binafsi
Na. Rahel Nyabali,Tabora
Baadhi ya wanafunzi wa kike walio katika mpango wa TASSAF kwa lengo la kunusuru kaya masikini unaoratibiwa na mfuko wa maendeleo ya jamii wamewaomba wadau binafsi, kushirikiana na serikali ili kuweza kuwasaidia kutimiza malendo yao.
Muungwana Blog ilifika katika baadhi ya shule hapa mjini Tabora ikiwemo shule ya sekondari Kazehili na kuzungumzana na baadhi ya wanafunzi walio katika mpango wa TASSAF ili kujua maendeleo yao kitaaluma.
Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Kazehii Marium Seif amesema wanafunzi wa kike walikuwa wanashindwa kuhudhuria darasani kutokana na kukosa mahitaji muhimu ya shule ikiwemo madaftari na sare za shule
"Mpango huu wa TASSAF umetusaidia kwa kiasi kwa sababu zamani nilikua nakuja malamoja moja kwa wiki lakini baada ya kuwa katika mpango huu nahudhulia vizuri darasani ninawaomba wadau wengine wajitokeze kutusaidi," Amesema Marium.
"Mwalimu mlezi wa wanafunzi katika shule ya sekondari Kazehili Sarah Misa amesema wa wanafunzi walio katika mpango wa TASSAF amesema mpango huu umekuwa na tija kwa kwa kuongeza ufauru hasa kwa wanafunzi wa kike."
"Tuna wanafunzi kama mia moja wanahudhuria katika shule yetu baada ya kuwa katika mpango huu wanafunzi wanahudhulia kwa asilimia tisini hakika hili ni jambo kubwa,"amesema Sarah.
Aidha mpango huu umejikita zaidi katika kusaidia kaya masikini pamoja na watoto wanao ishi katika mazingira magumu ikiwemo Afya na Elimu ili kutimiza Malengo yao.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...