Sunday, October 21, 2018
Urefu wa vidole wahusishwa na mapenzi ya jinsia moja
Wanawake ambao vidole vyao vya pete na kidole kinacho fuata baada ya kidole gumba katika mkono wa kushoto vina urefu tofauti wana uwezekano mkubwa wa kuwa na mahusiano ya jinsia moja, utafiti unaonyesha.
Wanasayansi wamepima jozi 18 za vidole vya mapacha wa kike wanao fanana, ambapo mmoja alikuwa sawa na mwingine ni shoga.
Kwa wastani, wale waliokuiwa katika mapenzi ya jinsia moja walikuwa na ripoti tofauti ya ukubwa wa vidole ambapo kawaida ni tabia ya kiume lakini hii ni kwa mkono wa kushoto pekee.
Hii inaweza kuwa ni matokeo ya kuwa na homoni za testosterone kwenye tumbo, utafiti wa chuo cha Essex unasema.
Wanasayansi hao pia walipima dazeni 14 ya vidole vya mapacha wakiume wanao fanana, ambapo mmoja alikuwa sawa na mwingine alikuwa shoga, lakini hapa hawakuona uhusiano wowote.
Kwa upande wa wanawake, kawaida kidole cha pili kutoka kidole gumba na kidole cha pete huwa vina urefu sawa. Wakati kwa wanaume kuna tofauti kubwa baina ya vidole hivyo.
Wote wanawake na wanaume walipata homoni za kiume za testesterone wakiwa bado tumboni, lakini baadhi wanaweza kuwa walipata homoni hizo nyingi Zaidi tofauti na wengine, wanasayansi wanasema.
Mwandishi wa utafiti huo daktari Tuesday Watts kutoka kitengo cha saikolojia katika chuo kikuu cha Essex anasema,
"Kwasababu mapacha wanao fanana ambao wana shea asilimia 100 ya jenes wanatofautiana katika mwelekeo wao kijinsia sababu zingine tofauti na sababu za kijenetiki lazima zinahusika.
Tafiti zinasema kwamba jinsia zetu zinatambuliwa ndani ya tumbo na inategemea kiasi cha homoni za kiume ambazo mtu amezipata akiwa tumboni au namna mwili wa kila mtu unavyo pokea homoni hizo, na wale ambao wanao pata homoni hizo za kiume kwa kiwango cha juuwanauwezekano wakuwa mashoga au watu wanao weza kuwa na mahusiano na jinsia yoyote ile.
Wote wanawake na wanaume walipata homoni za kiume za testosterone wakiwa bado tumboni, lakini baadhi wanaweza kuwa walipata homoni hizo nyingi zaidi tofauti na wengine
Tuesday Watts , Daktari
"Kwasababu ya uhusiano kati ya kiasi cha homoni na utofauti katika urefu wa vidole, kuagalia mkono wa mtu kunaweza kukudokeza jinsia zao".
Matokeo hayo yamechapishwa katika hifadhi ya Tabia za mahusiano ya kingono.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
