Mzozo wa kidiplomasia unazidi kuibuka kuhusu nchi ndogo iliyo kusini mwa Afrika ya eSwatini ambayo awali ilifahamika kama Swaziland.
Nchi hiyo ndiyo mshirika wa mwisho wa Taiwan aliyesalia barani Afrika.
China ambayo hairuhusu nchi yoyote kuwa na uhusiano wa kiserikali nayo pamoja na Taiwan kwa wakati mmoja imesema inataka eSwatini kuboresha uhusiano kati yake na Beijing.
Taiwan ambayo China inaitaja kuwa mkoa wake, imekuwa ikipoteza washirika wakiwa sasa wamebaki 17 tu. Siku ya Jumanne El Salvador ilikata uhusiano wake na China.
Taiwan iliapa Jumanne kupambana na tabia za China baada ya kupoteza mshirika wake El Salvador kwa China, ambayo ni nchi ya tatu kukata uhusiano wake na Taiwan na kujiunga na China mwaka huu.
"eSwatini haina uhusianoa na China kwa sababu ambazo kila mtu anazifahamu," naibu waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa China Cheng Xiaodong aliliambia shirika la habari la Reuters.
"Tuna matumaini kuwa nchi zote za Afrika huku moja ikiwa imebaki, zitashiriki katika kuwa na uhusiano mzuri kati ya China na Afrika," alisema.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
