"Hussein Mwinyi namzidi umri, kanichagulieni huyu na mimi nitajisikia raha, sio mkanichagulie Mtu ambaye nikifika Zanzibar nitamuambia Shikamoo, inachosha, msinichagulie shikamoo mtanipa tabu, nichagulieni huyu nitampa nguvu zote kwakuwa ni Mdogo wangu"-JPM