Mawaziri wa Mambo ya nchi za kigeni wa Ujerumani, Ufaransa, Italia pamoja na Umoja wa Ulaya wametoa tamko la pamoja linaloelezea wasiwasi wao kuhusiana na ongezeko la mapigano nchini Libya.
Katika taarifa ya pamoja, wamezitaka pande hasimu nchini Libya kurejea kwenye meza ya mazungumzo na kutafuta makubaliano ya uhakika ya usitishaji mapigano.
Viongozi hao wametilia mkazo umuhimu wa kuwepo utulivu wa uhakika katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan na wakati Libya inaendelea kukabiliana na mlipuko wa viruis vya corona.
Hivi karibuni mapigano yameongezeka kwenye mji mkuu wa Libya, Tripoli licha ya kutiwa saini mkataba wa kusitisha mapigano mnamo mwezi Januari.
Sunday, April 26, 2020
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
