Wananchi na wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Likuyufusi -Mkenda ambayo inaunganisha nchi ya Tanzania na Msumbiji mkoani Ruvuma wako katika wasiwasi mkubwa wa kukosa mahitaji ya msingi kama huduma za afya ,usafirishaji wa mazao baada ya daraja la mto Nakawale kulika pembeni kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani humo.
Baadhi wa wananchi wa kijiji cha Nakawale kata ya Mhukuru Halmashauri ya wilaya ya Songea wanasema mvua hiyo ilinyesha kwa siku mbili mfululizo na kufunika daraja la mto Nakawale hali iliyopelekea pembeni mwa daraja ilo kulika na kusababishaa mgari kushindwa kupita kwa hofu ya daraja kukatika.
Romani Mbukini ni Mhandisi wa matengenezo kutoka wakala wa barabara nchini Tanroads Ruvuma anasema baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi wamekuja kufanya tathimini na ndani ya siku mbili mawasiliano yatarejea.
Mkuu wa wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema akiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya anatoa maagizo kwa Tanroad kuhakkisha mawasiliano yanarejea kwa wananchi kutokana na umuhimu wa barabara hiyo.
Tuesday, March 24, 2020
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
