Joto kali limeendelea kukumba miji kadhaa kaskazini magharibi mwa Ulaya huku viwango vya joto vikizidi kuongezeka na kuweka rekodi mpya nchini Uholanzi, Ubelgiji, Ujerumani na Ufaransa.
Hapo jana Ujerumani ilirekodi kiwango cha juu zaidi cha nyuzi joto 42.6 katika mji wa Lingen, kaskazini magharibi mwa jimbo la Saxony.
Katika mji mkuu wa Ufaransa Paris, viwango vya juu vilifikia nyuzijoto 42.6. Idara ya utabiri wa hali ya hewa nchini humo Meteo France imesema hicho ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kurekodiwa.
Baadhi ya miji ya Uholanzi na Ubelgiji pia imekumbwa na joto kali na maafisa katika nchi kadhaa wametoa tahadhari.
Hata hivyo viwango vya joto, vinatarajiwa kushuka leo Ijumaa na kesho
Friday, July 26, 2019
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
