Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Rapper kutokea kundi la Migos Offset pamoja na mke wake Cardi B wanampango wa kumfanyia mtoto wao Kulture sherehe ya kutimizia mwaka mmoja itakayogharimu kiasi cha dola za Kimarekani 400,000 sawa na zaidi ya Tsh Mil.900
Inaelezwa kuwa Kulture anatimiza mwaka mmoja Julai 10 mwaka huu 2019 na kutajwa kuwa zawadi itakayotolewa kutoka kwa Cardi B na Offset ni vito vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 2o0 za Kitanzania ambapo sonara Eliantte ndio ametajwa kuandaa vito hivyo.
Kupitia Insta Live ya Cardi B aliwahi kufunguka na kusema kuwa hii ndio sherehe ya kuzaliwa ya kwanza ya mtoto wake hivyo anataka kuifanya kuwa ya kipekee. Inaelezwa kuwa Cardi B aliwahi kumnunulia mtoto wake bangili yenye thamani zaidi ya Mil.100 za kitanzania.
Tuesday, June 25, 2019
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
