Timu ya Mtibwa Sugar imetetea ubingwa wake wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya kuwafunga wenyeji Azam FC kwa penalti 4-2 kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120.
Kipa Hatibu Waziri alitokea benchi dakika ya 119 kwenda kumalizia hatua ya matuta, akapangua mkwaju wa nne baada ya Azam kukosa tuta moja awali na Mtibwa wakatwaa tena taji hilo baada ya mwaka jana kufanya hivyo Dodoma.
Awali, Yanga SC ilifanikiwa kumaliza nafasi ya tatu katika michuano hiyo baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu wao, Simba SC, mabao ya Kilaza Mazoea dakika ya 35 na Julius Wilson Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam.
Samwel Jackson wa Azam FC alishinda tuzo ya Mchezaji Bora wa mashindano, Onesmo Mayaya Mfungaji Bora kwa mabao yake matano, Razack Ramadhan wa wote wa Mtibwa Sugar akawa Kipa Bora, Kocha Bora Said Maulid Kalikula 'SMG' wa Yanga SC na Refa Bora ni Ramadhan Kayoko wa Dar es Salaam.
Source
Friday, June 21, 2019
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
