Baada ya rappa P Diddy kuanzisha mahusiano mapya na mwanadada Gina Huyn miezi kadhaa iliyopita na baadae kuripotiwa kuwa wawili hao wameachana sasa kupitia mahojiano ya kipindi cha "Unwine with Tasha K" Gina amefunga vitu kibao kumuhusu Diddy.
Gina Huyn amefunguka na kuweka wazi kuwa Diddy alikuwa akimnyanyasa kwa kumpiga na ilifikiwa hatua alipokuwa mjamzito alilazimishwa kufanya utoaji wa mimba na kulipwa kiasi cha dola za Kimarekani 50,000 sawa na zaidi ya shilingi Mil.100 za Kitanzania, Gina alienda mbali na kusema amekuwa na Diddy kwenye mahusiano yenye manyanyaso kwa miaka mitano tokea mwaka 2014-2019.
"Mara ya kwanza nilipata ujauzito na Diddy ilikua ni Oktoba 2014 nilimuambia kuhusu ujauzito na aliniambia kuwa nitoe na alinipa kiasi cha zaidi ya shilingi mil.100 ili niishughulikie mimba ile lakini nilimpenda kweli na sikutaka kumuonyesha kuwa sikuwepo pale kwa ajili ya pesa zake na nilitaka awe mtu mzuri kwangu"
"Mara ya kwanza alikua mtu mzuri sana kwangu lakini ndani ya miaka mitatu alibadilika alianza kuwa na vurugu kihisia, kifikra mara nyingi alikua akinilinganisha na Cassie na kusema kuwa mimi sio mtu mzuri kama Cassie" >>> alisema Gina
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
