Mawaziri wa mambo ya nje wa Japan na Urusi waliokutana kwa mazungumzo katika mji mkuu wa Japan, Tokyo, wameshutumiana kwa serikali zao kujipanua kijeshi katika visiwa vya Kurils.
Japan imesema kujipanua kijeshi kwa Urusi katika visiwa hivyo vinavyozozaniwa ni hatua isiyokubalika, huku Urusi ikisema mpango wa Japan wa kuweka mfumo wa kujilinda na makombora uliotengenezwa Marekani kwa jina la Aegis Ashore ni tishio kubwa kwa nchi yake.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan Takeshi Iwaya, alimjibu mwenzake wa Urusi Sergei Shoigu kuwa mfumo huo ni wa kujilinda tu, na kamwe haototumiwa kuidhuru Urusi au nchi nyingine yoyote.
Visiwa hivyo vinavyozozaniwa vilikamatwa na Umoja wa Kisovieti kutoka Japan baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
Friday, May 31, 2019
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
